Rais wa Nigeria atangaza hali ya dharura ya usalama wa kitaifa

ABUJA-Rais wa Nigeria, Mheshimiwa Bola Ahmed Tinubu ametangaza hali ya dharura ya usalama wa kitaifa katikati ya ongezeko kubwa la mashambulizi ya mauaji na utekaji nyara wa watu wengi katika majimbo kadhaa nchini humo.
Katika agizo lenye maneno makali lililotolewa Novemba 26,2025, Rais huyo ameamuru kuongezwa haraka kwa vikosi vya usalama wa nchi na hatua kali kuchukuliwa kukabiliana na kile alichokiita mawakala wa uovu wanaodhoofisha taifa.


Aidha,Rais pia aliidhinisha matumizi ya kambi za National Youth Service Corps (NYSC) kama vituo vya mafunzo vya muda ili kuharakisha kupelekwa kwao kuanza majukumu.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news