Mheshimiwa Zungu afanya mazungumzo na Spika wa Bunge la Umoja wa Falme za Kiarabu

Mazungumzo hayo yalijikita katika kuimarisha uhusiano baina ya nchi hizo mbili hususan katika upande wa Mabunge.
Aidha, katika mazungumzo hayo imeazimiwa kuunda kamati ya kudumu ya ushirikiano baina ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Bunge la Umoja wa Falme za Kiarabu ambapo kamati hiyo pamoja na mambo mengine itaratibu masuala mbalimbali ya pamoja zikiwemo ziara za Wabunge na Viongozi wa Mabunge ya pande zote mbili za kubadilishana uzoeefu na mafunzo ya kujengeana uwezo katika masuala ya kibunge.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

Know matter how large or small your business is, advertising here