Salamu za pongezi kwa Waziri Balozi Kombo na Naibu Mawaziri wake kutoka Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki

Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki inampongeza Mhe.Balozi Mahmoud Thabit Kombo kwa kuapishwa kuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki.Wizara na Watumishi wote tunakutakia kila la kheri katika majukumu yako na kuahidi kushirikiana nawe katika kutimiza malengo ya nchi kitaifa na kimataifa.
Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki inampongeza Mhe. Dkt. Ngwaru Jumanne Maghembe kwa kuapishwa kuwa Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki.Wizara na Watumishi wote tunakutakia kila la kheri katika majukumu yako na kuahidi kushirikiana nawe katika kutimiza malengo ya nchi kitaifa na kimataifa.
Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki inampongeza Mhe. James Kinyasi Millya kwa kuapishwa kuwa Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki.Wizara na Watumishi wote tunakutakia kila la kheri katika majukumu yako na kuahidi kushirikiana nawe katika kutimiza malengo ya nchi kitaifa na kimataifa.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news