Salamu za pongezi kwa Waziri na Naibu Mawaziri wateule Wizara ya Fedha kutoka Benki Kuu ya Tanzania (BoT)

Benki Kuu ya Tanzania (BoT) leo Novemba 17,2025 imempongeza Mheshimiwa Balozi Khamis Mussa Omar kwa kuteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt.Samia Suluhu Hassan kuwa Waziri wa Fedha pamoja na Naibu Mawaziri wa wizara hiyo Laurent Luswetula na Mhandisi Mshamu Ali Munde.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

Know matter how large or small your business is, advertising here