Tuzo za Wakuu na Watendaji wa Makampuni 100 Bora kuvutia uwekezaji na kukuza uchumi wa Tanzania-Waziri Shariff

Waziri wa Kazi na Uwekezaji Zanzibar, Shariff Ali Shariff amesema tuzo za Wakuu na Watendaji wa Makampuni 100 Bora kuvutia uwekezaji na kukuza uchumi wa Tanzania.
Waziri Shariff aliyasema hayo wakati akishiriki hafla ya utoaji tuzo hizo zilizofanyika mnamo Tarehe 21 Novemba 2025 katika ukumbi wa The Super Dome Masaki jijini Dar es salaam.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news