ZEC yatangaza uteuzi wa Wajumbe wa Viti Maalum vya Wanawake katika Baraza la Wawakilishi Zanzibar

ZANZIBAR-Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) imetangaza uteuzi wa Wajumbe wa Viti Maalum vya Wanawake katika Baraza la Wawakilishi kufuatia Uchaguzi Mkuu uliofanyika tarehe 29 Oktoba 2025. Uteuzi huo umefanyika tarehe 04 Novemba 2025 katika kikao maalum cha tume.

Uteuzi huo umefanyika chini ya masharti ya kifungu cha 67(1) cha Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 na kifungu cha 55(3) cha Sheria ya Uchaguzi Nam. 4 ya mwaka 2018. Wajumbe walioteuliwa ni wafuatao:-


2) Ndg. Rahma Kassim Ali - CCM

3) Ndg. Tabia Maulid Mwita - CCM

4) Ndg. Fatma Ramadhan Mandoba - CCM

5) Ndg. Riziki Pembe Juma - CCM

6) Ndg. Maryam Said Khamis - CCM

7) Ndg. Chumu Khamis Kombo - CCM

8) Ndg. Lela Muhamed Mussa - CCM

9) Ndg. Khadija Salum Ali - CCM

10) Ndg. Zainab Abdalla Salum - CCM

11) Ndg. Anna Athanas Paul - CCM

12) Ndg. Aza January Joseph - CCM

13) Ndg. Salha Moh'd Mwinjuma - CCM

14) Ndg. Hudhaima Mbarak Tahir - CCM

15) Ndg. Mwanaidi Kassim Mussa - CCM

16) Ndg. Salma Mussa Bilali - CCM

17) Ndg. Moza Mohamed Khamis - ACT Wazalendo

18) Ndg. Jabu Makame Juma - ACT Wazalendo

19) Ndg. Farida Amour Mohamed - ACT Wazalendo

20) Ndg. Nassra Nassor Omar - ACT Wazalendo

Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar imeteuwa Wajumbe 16 kutoka CCM na Wajumbe wanne kutoka ACT Wazalendo kunatokana na asilimia ya viti vya Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi walivyopata katika Uchaguzi Mkuu wa tarehe 29 Oktoba,2025.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news