DART yasitisha vibali vya magari yote kupita kwenye barabara za mwendokasi (BRT)

DAR-Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART) umetangaza kusitisha rasmi vibali vyote vilivyokuwa vikiruhusu baadhi ya magari kupita katika njia maalum za mabasi yaendayo haraka (BRT) kuanzia leo Desemba 10, 2025.
DART imeeleza kuwa,kuanzia sasa ni mabasi yaendayo haraka pekee ndiyo yanayoruhusiwa kutumia miundombinu hiyo, huku magari yote mengine yakitakiwa kutumia njia za kawaida.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

Know matter how large or small your business is, advertising here