Kamanda Muliro akutana na Brigedia Jenerali Justus Mwilambeghe Kitta wa Kikosi cha 302 KV

Katika kikao hicho wamekumbushana umuhimu wa ushirikano, kuendeleza uzalendo wa kulilinda Taifa, nidhamu,  weledi na mawasiliano katika vyombo vya Ulinzi na Usalama ili kujenga taswira ya vyombo hivyo vizidi kun’gara na kuwa tegemeo kwa Taifa na wananchi kwa ujumla.
Hayo yamezungumzwa leo Desemba 30, 2025 wakati Brigedia Jenerali Justus akiwa na SACP Muliro Muliro,Kamanda wa Polisi wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam katika ukumbi wa mikutano wa Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam.
Kamanda Muliro amemshukuru Brigedia Jenerali Kitta na ujumbe wake kwa kumtembelea Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news