Hospitali ya Benjamin Mkapa(BMH) imefungua ukurasa mpya wa kupanua mashirikiano na Serikali ya Malawi kupitia Wizara ya Afya katika maeneo ya kuboresha Matibabu ya Kibobezi, Mafunzo ya Watalamu na Tafiti ili kunufaisha Wananchi wa pande zote kufuatia mazungumzo ya awali kati ya Watalaamu wa BMH wakiongozwa na Mkurugenzi Mtendaji Prof Abel Makubi na Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya nchini Malawi , Dr Dan Namarika chini ya Uratibu wa Balozi wa Tanzania nchini Malawi, Mhe Agnes Kayora.
Tags
Kurasa za Magazeti
Kurasa za Mbele na Nyuma za Magazeti
Magazeti
Magazeti ya Leo
Magazetini
Magazetini leo
Yaliyojiri Magazetini Leo













