Magazeti leo Desemba 21,2025

Hospitali ya Benjamin Mkapa(BMH) imefungua ukurasa mpya wa kupanua mashirikiano na Serikali ya Malawi kupitia Wizara ya Afya katika maeneo ya kuboresha Matibabu ya Kibobezi, Mafunzo ya Watalamu na Tafiti ili kunufaisha Wananchi wa pande zote kufuatia mazungumzo ya awali kati ya Watalaamu wa BMH wakiongozwa na Mkurugenzi Mtendaji Prof Abel Makubi na Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya nchini Malawi , Dr Dan Namarika chini ya Uratibu wa Balozi wa Tanzania nchini Malawi, Mhe Agnes Kayora.
Watalaamu kutoka BMH walitembelea Hospitali nne za hospitali ya Kamuzu (Lilongwe), Queen Elizabeth (Blantiyre), Zomba na Mzuzu nchini Malawi baaadae kukutana na Katibu Mkuu Wizara ya Afya , Dkt. Dan Namarika.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

Know matter how large or small your business is, advertising here