Magazeti leo Januari 10,2026

Manchester City imekamilisha rasmi usajili wa mshambuliaji Antoine Semenyo kutoka AFC Bournemouth baada ya kufikia kifungu cha kuvunja mkataba wake chenye thamani ya pauni milioni 65.

Semenyo, mwenye umri wa miaka 26, amesaini mkataba wa muda mrefu wa miaka mitano na nusu utakaomuweka ndani ya Etihad Stadium hadi mwaka 2031. Usajili huo unaufanya kuwa wa kwanza kwa Manchester City katika dirisha hili dogo la usajili.

Man City wamewashinda wapinzani wao wakubwa Manchester United, Liverpool, Tottenham Hotspur na Chelsea, ambazo pia zilikuwa zikihitaji saini ya mshambuliaji huyo kutokana na kiwango chake bora msimu huu.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

Know matter how large or small your business is, advertising here