NECTA yatangaza matokeo ya Mtihani ya Darasa la Nne na Kidato cha Pili 2025, yatazame hapa

NA GODFREY NNKO

KATIBU Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA),Prof. Said A.Mohamed leo Januari 10,2026 ametangaza matokeo ya ya upimaji wa Kitaifa wa darasa la Nne ambao ulifanyika Oktoba 22 na 23,2025 na Upimaji wa Kitaifa wa Kidato cha Pili ambao ulifanyika Novemba 10 hadi 19,2025.
TAZAMA VIDEO CHINI KWA TAARIFA ZAIDI
Prof.Mohamed amesema, baraza limeidhinisha rasmi kutolewa kwa matokeo hayo ambapo upande wa usajili na mahudhurio jumla ya wanafunzi 1,583,686 walisajiliwa kufanya upimaji wa Kitaifa Darasa la Nne wakiwemo wasichana 818,673 sawa na asilimia 52 na wavulana 706,513 sawa na asilimia 48.
Aidha, kwa upande wa mahudhurio kwa wanafunzi wa Darasa la Nne, Katibu Mtendaji wa NECTA amesema walikuwa asilimia 94 sawa na wanafunzi 1,490,377 katika shule za msingi 20,508.Pia, amesema wapo wanafunzi 93,309 sawa na asilimia sita ambao hawakufanya mtihani huo, licha ya kusajiliwa.
Kwa upimaji wa Kiraifa wa Kidato cha Pili, Profesa Mohamed amesema kuwa,wanafunzi 889,264 walisajiliwa wakiwmo wasichana 492856 sawa na asilimia 55 na wavulana 396408 sawa na asilimia 45 ambapo mahudhurio yalikuwa asilimia 91.3 sawa na wanafunzi 811,575 katika shule za sekondari 6223 nchini.

NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA

FORM TWO NATIONAL ASSESSMENT (FTNA) 2025 RESULTS ENQUIRIES


CLICK ANY LETTER BELOW TO FILTER CENTRES BY ALPHABET

ALL CENTRES

A

B

C

D

E

F

G

H

I

J

K

L

M

N

O

P

Q

R

S

T

U

V

W

X

Y

Z


MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA KIDATO CHA PILI (FTNA) 2025, Bonyeza jina la shule yako hapa chini kuona matokeo;


Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

Know matter how large or small your business is, advertising here