Magazeti leo Desemba 5,2025

KATIBU Mkuu wa Chama cha Wafanyakazi wa Serikali na Afya Tanzania (TUGHE), Hery Mkunda amesema kumekuwa na changamoto ya kimaadili kwa baadhi ya watumishi wa umma, hususan wanapokuwa wakihudumia wananchi na kusisitiza kuwa chama hicho kina jukumu la kuendeleza usimamizi wa maadili kazini.
Mkunda amesema hayo Desemba 4, 2025 wakati wa Mkutano Mkuu wa Mwaka wa TUGHE uliofanyika mkoani Dodoma.









Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news