Rais Dkt.Mwinyi awaapisha wakuu wa mikoa na naibu makatibu wakuu

ZANZIBAR-Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amewaapisha Wakuu wa Mikoa na Manaibu Makatibu Wakuu aliowateua hivi karibuni.
Hafla ya uapisho imefanyika leo tarehe 17 Disemba 2025 Ikulu, Zanzibar.

Walioapishwa ni Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Unguja, Mhe. Cassian Gallos Nyimbo, na Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi,Mhe. Muhammed Ali Abdalla.
Naibu Makatibu Wakuu walioapishwa ni Ndg. Hawaah Ibrahim Mbaye, Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mawasiliano, Teknolojia ya Habari na Ubunifu, pamoja na Dkt. Said Seif Mzee, Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Biashara na Maendeleo ya Viwanda.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

Know matter how large or small your business is, advertising here