Taarifa muhimu kutoka Jeshi la Polisi Tanzania kuhusu madai ya maandamano ya Wamasai jijini Arusha

Picha mjongeo yenye kichwa cha habari WAMASAI WAANZA MAANDAMANO KUDAI HAKI ZAO ARUSHA kama inavyoonekana kushoto mwa taarifa hii ni uzushi na uongo ipuuzeni.

Ufafanuzi ni kwamba, hizo zilikuwa sherehe za Kimila za Kabila la Wamaasi za jando ambapo vijana pamoja na mambo mengine hufundishwa na kujengewa maadili.

Sherehe hizo zilifanyika mwezi Juni 2025 katika eneo la msitu wa TANAPA jijini Arusha.

Imetolewa na;
Msemaji wa Jeshi la Polisi
Makao Makuu ya Polisi

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news