WATANZANIA JUENI:DART/UDART ni kinara wa mageuzi ya usafiri wa mijini barani Afrika na duniani

Kasi ya kufufua mabasi yaliyopaki na kuingizwa barabarani ni kubwa

■Shehena ya vipuri muhimu tayari imeshawasili Dar

UDART Wanachapa Kazi saa 24 Kufufua Mabasi, Mengine Mapya Yaja;

Ng’ingo, Bosi UDART: “Hatupoi. Wateja wetu wa Dar wanastahili huduma bora"

■Wapongezwa Kutenga Mabasi Maalum ya Wanafunzi

Na Derek K. Murusuri, Mhariri wa Teknolojia

WATANZANIA wengi wanapaswa kujua kuwa BRT ya Dar es Salaam (Mwendokasi) ni mfano wa kuigwa kimataifa (global blueprint) wa usafiri wa haraka mijini, wahenga walisema, nabii hakosi heshima, isipokuwa nyumbani kwake.

Watu wengi wanasifia maendeleo ya Singapore, lakini nchi hii ni mojawapo kati ya mataifa mengi yakiwemo Marekani, Algeria, Vietnam, Ghana, Nigeria, Ethiopia, Kenya na Uganda, yalikuja kujifunza mafanikio ya BRT yetu, tena mengine kwa kuambiwa na mataifa makubwa, “mkajifunza Tanzania.”

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news