Magazeti leo Januari 5,2026

TIMU ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ imeshindwa kuingia robo fainali ya michuano ya Mataifa ya Afrika baada ya kufungwa bao 1-0 na wenyeji Morocco katika mchezo wa hatua ya 16 bora usiku huu wa Janauri 04, 2026.
Hata hivyo wachezaji wa Taifa Stars walimlalamikia kwa kiasi kikubwa mwamuzi Boubou Traoré raia wa Mali, wakionekana kupinga kwa kiasi kikubwa maamuzi yake ikiwemo madai ya kuwanyima penalti dakika za mwishoni za mchezo huo. Mwamuzi wa Senegal, Issa Sy alikuwa mwamuzi wa Teknolojia ya Usaidizi wa Video (VAR).

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

Know matter how large or small your business is, advertising here