TANZANIA-CONNECT inakualika kwenye mkutano wa Zoom utakaoangazia maendeleo katika Sekta ya Elimu nchini, ni kesho Januari 27,2026 saa 05:00 asubuhi Mjulishe na Rafiki yako

■Huu ni mkutano jumuishi kwa wadau mbalimbali utakaoangazia maendeleo katika Sekta ya Elimu kupitia Serikali ya Awamu ya Sita chini ya uongozi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt.Samia Suluhu Hassan.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

Know matter how large or small your business is, advertising here