Uwekezaji wa Rais Dkt.Mwinyi katika Sekta ya Elimu wafanikisha ufaulu wa kihistoria Zanzibar

NA DIRAMAKINI

UWEKEZAJI Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mheshimiwa Dkt.Hussein Ali Mwinyi katika Sekya ya Elimu umeendelea kuleta matokeo chanya, ambapo mwaka 2025 Zanzibar imeandika historia kwa viwango vya juu vya ufaulu wa mitihani ya Kidato cha Pili (93.2%) na Darasa la Nne (94.0%).
Mafanikio haya yametokana na miundombinu bora ikiwemo skuli za ghorofa za msingi na sekondari,ajira za walimu, pamoja na uboreshaji wa vifaa vya kujifunzia ikiwemo maabara za kisasa,maktaba za kisasa na vyumba vya kompyuta.

Vilevile, kwa matokeo hayo ufaulu wa Skuli za Vipawa kwa Wanafunzi wa Kidato cha Pili wa Skuli za Fidel Castro na Lumumba wamepata Daraja la Kwanza wote asilimia 100%.

Hatua hizi zinaonesha dhamira thabiti ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kuimarisha elimu na kuandaa kizazi chenye maarifa na ushindani.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

Know matter how large or small your business is, advertising here