Magazeti leo Februari 20,2026

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu- Kazi, Ajira na Mahusiano Deus Sangu amewataka Mawakala binafsi wa Ajira kuzingatia mwongozo wa uratibu wa ajira za nje ya nchi ili watanazania wengi wanufaike na fursa za ajira zinazozalishwa.
Waziri Sangu ameyasema hayo Dar es Salaam jana Februari 19,2026 wakati alipofanya mkutano na Mawakala binafsi 148 wa ajira za ndani na nje uliolenga kutoa mwelekeo wa Serikali kuhusu uzingatiaji wa uratibu wa kisheria na kimfumo.

“Zamani kulikuwa uholela na ndio maana mmeniletea changamoto ya vishoka, Serikali haitambui uwepo wa hao vishoka.Hivyo tumeanzisha mifumo ya kisheria na ya kitaasisi inayosimamia ajira za ndani na nje ya nchi,” alisisitiza Waziri Sangu.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

Know matter how large or small your business is, advertising here