Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo, amesema kuwa uwekezaji wa zaidi ya Sh bilioni 700 uliofanywa na Kilombero Sugar Company Limited una mchango mkubwa katika kupunguza changamoto ya ajira nchini, hususan katika sekta nyeti za uhandisi na taaluma nyingine za kiufundi.
Prof. Mkumbo ametoa kauli hiyo alipofanya ziara katika Wilaya ya Kilombero, mkoani Morogoro, na kutembelea kiwanda hicho cha sukari.
Tags
Kurasa za Magazeti
Kurasa za Mbele na Nyuma za Magazeti
Magazeti
Magazeti ya Leo
Magazetini
Magazetini leo
Yaliyojiri Magazetini Leo


















