SONGWE-Hatua hizi za kihistoria za Serikali ya Tanzania kusaini mikataba ya kushiriki moja kwa moja katika miradi ya madini muhimu na mkakati kupitia umiliki wa hisa zisizohafifishwa (free carried interest) thamani zinaashiria enzi mpya ya ukuaji wa kipekee wa Sekta ya Madini,huku Tanzania ikiendelea kuhakikisha kuwa wananchi wananufaika kikamilifu na rasilimali zao na uwekezaji katika Sekta ya Madini unakua shirikishi na wenye uhakika.
Juhudi hizi zinazidi kuitangaza Tanzania Kimataifa kama kitovu cha rasilimali adimu na fursa zenye ushindani duniani na mwekezaji rafiki.
#MadininiMaisha
#MadininiUtajiri
#InvestInTZ
#Mining4Development
