Kwa pamoja tupuuze taarifa hizi za uongo, hazina ukweli wowote kutoka Tume ya Uchunguzi

DAR-Kumekuwepo kwa usambazaji wa taarifa potofu kupitia mitandao ya kijamii nchini, zinazokinzana na takwimu rasmi zilizotolewa na Mwenyekiti wa Tume Huru ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani yaliyotokea wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2026.
Taarifa hizo zisizo sahihi zinadai kuwa idadi ya vifo vilivyotokana na ghasia hizo imefikia watu 10,518, jambo ambalo linapingana na takwimu rasmi zinazoonesha kuwa jumla ya vifo vilivyothibitishwa ni 518.

#NeverAgain
#Yasirudiwe

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

Know matter how large or small your business is, advertising here