Magazeti leo Aprili 2,2026

Serikali kupitia Wizara ya Katiba na Sheria imeendelea kuimarisha usimamizi na ulinzi wa rasilimali za Taifa kwa kuwajengea uwezo watumishi wake kupitia mafunzo maalum yanayoendelea kufanyika.
Katika kufanikisha lengo hilo Wizara imewakutanisha na kuwapatia mafunzo kwa muda wa siku nne mjini Morogoro, maofisa viungo kutoka Wizara na Taasisi za kisekta zinazosimamia rasilimali za nchi ili kujengewa uwezo katika kusimamia na kulinda utajiri wa asili na maliasilia za nchi.

Akizungumza wakati wa ufunguzi wa mafunzo hayo, Kaimu Mkurugenzi Kitengo cha Uangalizi wa Utajiri Asili na Maliasilia, Bw. Everest Mashiba alieleza kuwa lengo kuu la mafunzo hayo ni kuongeza weledi, uwajibikaji, uadilifu na ushirikiano miongoni mwa maofisa hao, ili kuboresha usimamizi wa maliasili na kuchangia kufikia maendeleo endelevu ya kijamii na kiuchumi.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

Know matter how large or small your business is, advertising here