Naipenda Tanzania,Common Wealth ipo kwa ajili ya Tanzania-Chakwera

DAR-Mwakilishi wa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola, na Rais mstaafu wa Malawi, Dkt. Lazarus Chakwera amesema,kilichotokea Tanzania wakati wa uchaguzi mkuu kwa sasa kila mtu yuko katika harakati za kutafuta suluhu na kutatua tatizo.
Chakwera amesema hayo jijini Dar es Salaam leo wakati alipotembelea Tume ya Uchunguzi wa matukio ya wakati na Baada ya Uchaguzi mkuu wa Oktoba 29,2025.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

Know matter how large or small your business is, advertising here