Tume ya Uchunguzi iko huru,haiingiliwi na taasisi yoyote-Profesa Juma

DAR-Jaji Mkuu mstaafu wa Tanzania, Mheshimiwa Prof. Ibrahim Hamis Juma amesema kuwa, kuundwa kwa Tume Huru ya Uchunguzi wa Matukio ya Vurugu zilizotokea baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025 ni taswira nzuri ambayo nchi imeonesha kuwa inao uwezo wa kushughulikia na kutatua changamoto zake yenyewe bila kuingiliwa na watu wa nje.
Prof.Ibrahim amesisitiza kuwa,tume hiyo ni huru na haiingiliwi na taasisi au mtu mwingine wa nje na ni tume ya Kimataifa,kwani inaongonzwa na sheria za Kimataifa na sio za Tanzania pekee na imesheheni watu wabobevu wenye uzoefu wa kazi za Kimataifa.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

Know matter how large or small your business is, advertising here