Wajumbe wote wa Tume ya Jaji Chande ni wabobevu,watenda haki-John Mrema

DAR-Mkurugenzi wa Habari na Mawasiliano wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), John Mrema amesema kuwa,kwa sasa ana matumaini makubwa na Tume ya Kuchunguza Matukio Wakati na Baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025 chini ya Mhe.Jaji Mohamed Chande Othman kwa sababu tume hiyo ina watu weledi sana.
Mrema ameongeza kuwa,tume hiyo imeundwa na Rais kwa ajili ya kuwasaidia watanzania na imani yake ni kuwa itafanya kazi nzuri.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

Know matter how large or small your business is, advertising here