Waziri Balozi Kombo apokea taarifa kuhusu ushirikiano na uhusiano kati ya Tanzania na Mauritius

PORT LOUIS-Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Mahmoud Thabit Kombo akipokea taarifa kuhusu Ushirikiano na uhusiano Kati ya Tanzania na Mauritius kutoka kwa Balozi wa Tanzania nchini Mauritius mwenye makazi yake Harare Zimbabwe Mheshimiwa Suzan Kaganda alipowasili jijini Port Louis, Mauritius Aprili 10,2026 kuhudhuria Mkutano wa Tisa wa Bahari ya Hindi unaofanyika April 10 hadi 12,2026.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

Know matter how large or small your business is, advertising here