Waziri Mkuu akiteta jambo na Mwanasheria Mkuu wa Serikali bungeni jijini Dodoma leo


Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Mwigulu Nchemba akizungumza jambo na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Hamza Johari katika Kikao cha Nne cha Mkutano wa 3 wa Bunge la 13 leo Aprili 8,2026 bungeni jijini Dodoma.Waheshimiwa Wabunge wameemdelea kujadili Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Ofisi ya Waziri Mkuu wa mwaka wa fedha 2026/27.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

Know matter how large or small your business is, advertising here