Mabingwa wa Kombe la Shirikisho la CRDB, Young Africans S.C. wamefanikiwa kutinga hatua ya nusu fainali ya kombe hilo baada ya kuichapa JKT Tanzania mabao 2-0 katika mchezo robo fainali uliopigwa Mei 16, 2026, kwenye Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo.
Mabao ya Yanga yamefungwa kipindi Cha kwanza na Hassa Twalib Wahabi pamoja na Mudathir Yahya Abassi.
Mabao ya Yanga yamefungwa kipindi Cha kwanza na Hassa Twalib Wahabi pamoja na Mudathir Yahya Abassi.
Tags
Kurasa za Magazeti
Kurasa za Mbele na Nyuma za Magazeti
Magazeti
Magazeti ya Leo
Magazetini
Magazetini leo
Yaliyojiri Magazetini Leo





















