Magazeti leo Juni 14,2026

Wadau wa maendeleo wameitaka Serikali kuhakikisha Bajeti ya Taifa ya mwaka 2026/2027 inatekelezwa kwa kuzingatia usawa wa kijinsia ili kufanikisha malengo ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050.
Kuli hiyo ilitolewa jana katika mjadala wa uchambuzi wa Bajeti ya Taifa ulioandaliwa na Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP) kupitia jukwaa la Kijiwe cha Kahawa, lililowakutanisha wadau wa maendeleo, wanaharakati, wataalamu wa uchumi na viongozi wa serikali za mitaa.
Mratibu wa TGNP, Anna Sangai, alisema bajeti yenye mrengo wa kijinsia ni muhimu katika kuhakikisha wanawake, vijana, watoto na makundi mengine yaliyo pembezoni yanapata fursa sawa za maendeleo na kushiriki kikamilifu katika uchumi wa taifa.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

Know matter how large or small your business is, advertising here