Rais Dkt.Samia atoa Tuzo Maalum kwa Benki Kuu ya Tanzania (BoT)

DAR-Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa Tuzo Maalum kwa Benki Kuu ya Tanzania kama moja ya taasisi iliyofanya vizuri katika utoaji wa gawio kwa Serikali kwa mwaka 2026.
Tuzo hiyo imepokelewa na Gavana wa Benki Kuu, Bw. Emmanuel Tutuba katika hafla iliyofanyika leo Juni 30,2026 Ikulu jijini Dar es Salaam.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

Know matter how large or small your business is, advertising here