Watumishi wa TRC Kigoma na Mwanza wapewa mafunzo maalum ya kuwa Mtumishi wa Thamani
Mkurugenzi wa Rasilimali Watu na Utumishi wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), Irine Robert Ungani akitoa mafunzo maalum ya kuwa Mtumishi wa Thamani kwa watumishi wa Kigoma na Mwanza.