DAR-Wakili Mkuu wa Serikali, Dkt. Ally Possi amefanya mazungumzo na viongozi wa Umoja wa Mawakili Vijana (AYL) walipomtembelea ofisini kwake jijini Dar es Salaam. Viongozi hao waliongozwa na Mwenyekiti wao, ndugu Emmanuel Ukashu.
Wakili Mkuu wa Serikali, Dkt. Ally Possi akizungumza na viongozi wa Umoja wa Mawakili Vijana (AYL) (hawapo pichani) walipomtembelea Ofisini kwake jijini Dar es Salaam.
Wakili Mkuu wa Serikali, Dkt. Ally Possi akizungumza na viongozi wa Umoja wa Mawakili Vijana (AYL) (hawapo pichani) walipomtembelea Ofisini kwake jijini Dar es Salaam.
Wakili Mkuu wa Serikali, Dkt. Ally Possi (aliyesimama kulia) akimkabidhi mkoba wenye nyaraka mbalimbali za Ofisi yake Mwenyeketi wa Umoja wa Mawakili Vijana (AYL) ndugu Emmanuel Ukashu kuhusu Ofisi hiyo alipomtembelea Ofisini kwake Jijini Dar es Salaam.
Wakili Mkuu wa Serikali, Dkt. Ally Possi akiwa kwenye picha ya pamoja na viongozi wa Umoja wa Mawakili Vijana (AYL) walipomtembelea Ofisini kwake Jijini Dar es Salaam.
Tags
Dkt.Ally Possi
Habari
Mawakili Vijana
Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali
Picha
Picha Chaguo la Mhariri




