Magazeti leo Julai 6,2026

Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhandisi Maryprisca Mahundi, amesema Serikali itaendelea kushirikiana na wadau mbalimbali kuimarisha malezi na makuzi ya watoto, kuwawezesha wanawake na vijana kiuchumi pamoja na kujenga familia imara, ikiwa ni sehemu ya jitihada za kuharakisha maendeleo ya jamii na Taifa kwa ujumla.
Ameyasema hayo Julai 4, 2026 wakati akifungua Kongamano la Usiku wa Mtoko wa Familia lililoandaliwa na Rizex for Life Foundation katika Ukumbi wa Bombambili, Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma, ambapo pamoja na kutoa elimu ya malezi na makuzi ya watoto, taasisi hiyo imefadhili vijana 10, wakiwemo wasichana watano na wavulana watano, kujiunga na masomo ya ufundi stadi katika Chuo cha VETA.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

Know matter how large or small your business is, advertising here