Home3rd Annual Bespoke Viongozi Wakuu wa Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali wapo tayari kushiriki Msimu wa Tatu wa Mafunzo ya Bespoke kwa Mawakili wa Serikali 2026 yanayofanyika Julai 15 hadi 17 katika Ukumbi wa AICC jijini Arusha Tags 3rd Annual Bespoke Habari Mwanasheria Mkuu wa Serikali Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali Facebook Twitter