Magazeti leo Agosti 3,2026

Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) imeeleza kuwa matumizi ya mifumo ya kidijitali katika vyama vya ushirika yameleta mapinduzi makubwa katika usimamizi wa shughuli za ushirika nchini, huku zaidi ya vyama 6,000 vikisajiliwa kwenye mfumo maalum wa kidijitali.
Meneja wa Mawasiliano wa e-GA, Subira Kaswaga, amesema kuwa mfumo huo umewezesha kuongeza uwazi katika biashara za mazao, kupunguza mianya ya upotevu wa mapato pamoja na kuwapa wakulima uwezo wa kufuatilia mwenendo wa mauzo ya mazao yao kwa wakati.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

Know matter how large or small your business is, advertising here