TRC yawaita wananchi katika banda lake Maonesho ya Nanenane kupata elimu na taarifa sahihi

DODOMA-Maonesho ya Nanenane 2026 yanaendelea jiini Dodoma. Banda la TRC ni mahali sahihi kupata taarifa mbalimbali kuhusu huduma za reli, usafirishaji wa mizigo na abiria, pamoja na fursa za uwekezaji zilizofunguliwa na Reli ya Kisasa (SGR).
Karibu ujifunze jinsi reli inavyorahisisha usafirishaji wa mazao ya kilimo kwa haraka, usalama na gharama nafuu, hivyo kuwaunganisha wakulima na wafanyabiashara na masoko ya ndani na nje ya nchi.

Tunakukaribisha kutembelea banda la TRC na kujionea mchango wa reli katika kukuza kilimo na uchumi wa Taifa.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

Know matter how large or small your business is, advertising here