Magazeti leo Septemba 18,2026

Wanawake, Vijana, Wazee na Watu wenye mahitaji maalum wa mikoa ya Kanda ya Kusini wametakiwa kuchangamkia fursa zinazopatikana katika zabuni za Umma ili kuongeza ushiriki wao katika shughuli za kiuchumi na maendeleo ya taifa.
Wito huo umetolewa na Kaimu Mkuu wa Idara ya Maendeleo ya Jamii Manispaa ya Lindi, Bi. Alusaria Mushi kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Mhe. Adam Malima katika Kongamano la Viwanda, Uwekezaji, Teknolojia na Uvumbuzi kwa Wanawake, Vijana, Wazee na Watu wenye mahitaji maalum wa mikoa ya Kanda ya Kusini lililoratibiwa na Chama cha Viziwi Tanzania (CHAVITA) jana mkoani Lindi.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

Know matter how large or small your business is, advertising here