DAR-Tume ya Uchunguzi wa Kijinai wa Matukio ya Ghasia ya Wakati na Baada ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025 chini ya Mwenyekiti wake Jaji Shabani Ally Lila imeanza kusikiliza ushahidi kwa wananchi wa Wilaya ya Ilala mkoani Dar es Salaam kuanzia leo Jumatatu Agosti 31 hadi Septemba 4, 2026 katika viwanja vya Karimjee Posta,wananchi wote wanakaribishwa.
