Bunge limeridhia azimio la kuridhia Mkataba wa Uanzishwaji wa Taasisi ya Ukuzaji wa Maendeleo ya Kijani Duniani (GGGI) lililowasilishwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mhandisi Hamad Yussuf Masauni bungeni jijini Dodoma, Septemba 03, 2026.
Kupitia Mkataba huo Tanzania itapata manufaa yakiwemo kuongeza uwezo wake katika kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi na kukuza uchumi unaolenga kuzingatia hifadhi ya mazingira.
Awali akiwasilisha maelezo hayo, alisema Taasisi ya kimataifa ya ikilenga kushirikiana na nchi wanachama katika uandaaji wa miradi ya uhifadhi wa mazingira na kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi; kusaidia taasisi za ndani za nchi wanachama kupata ithibati katika usimamizi wa fedha za Mifuko.
GGGCI upatikanaji wa fedha za misaada na mikopo yenye riba nafuu kwa nchi pamoja na uwekezaji kwenye hati fungani za kijani utaongezeka na hivyo kuchochea mazingira endelevu kwa ustawi wa nchi.


















Tags
Kurasa za Magazeti
Kurasa za Mbele na Nyuma za Magazeti
Magazeti
Magazeti ya Leo
Magazetini
Magazetini leo
Yaliyojiri Magazetini Leo













