BASHUNGWA ACHUKUA FOMU YA KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA KARAGWE


Waziri wa Viwanda na Biashara, Innocent Bashungwa akisikiliza maelekezo ya uchaguzi baada ya kupokea fomu ya kuomba kuteuliwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) ili kugombea ubunge Jimbo la Karagwe kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM)  kutoka kwa Godwin Kitonka ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe na Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Karagwe, Agosti 21, 2020.

 

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe na Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Karagwe akitoa maelekezo ya uchaguzi baada ya kutoa fomu kwa Waziri wa Viwanda na Biashara, Innocent Bashungwa mgombea ubunge Jimbo la Karagwe kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Agosti 21, 2020.


Waziri wa Viwanda na Biashara, Innocent Bashungwa akipokea fomu ya kugombea ubunge Jimbo la Karagwe kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) kutoka kwa Godwin Kitonka ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe na Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Karagwe, Agosti 21, 2020. Picha zote na Eliud Rwechungura/Diramakini.

 

 



Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news