Waziri wa Viwanda
na Biashara, Innocent Bashungwa akipokea fomu ya kugombea ubunge Jimbo la Karagwe
kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) kutoka kwa Godwin Kitonka ambaye ni
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe na Msimamizi wa
Uchaguzi Jimbo la Karagwe, Agosti 21, 2020. Picha zote na Eliud Rwechungura/Diramakini.
|