Halima Mdee:Gwajima ni nani? Tukutane 'field'

 MGOMBEA ubunge katika Jimbo la Kawe lililopo Dar es Salaam, Halima Mdee (CHADEMA) amesema ushindi wake katika jimbo hilo utakuwa ni wa mapema asubuhi.

Mdee amesema hayo muda mfupi baada ya kurejesha fomu ambayo imekidhi vigezo na kuidhinishwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) ambapo amesisitiza kuwa, mgombea wa CCM ambaye ni mpinzani wake, Askofu Josephat Gwajima hampi hofu yoyote.

"Kila mtu atashinda kwa mziki wake, tukutane field,"amesema.

Kwa habari au matangazo (diramakini@gmail.com)

www.diramakini.co.tz

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

1 Comments

Previous Post Next Post

International news