KMC FC yamuombea radhi Kabunda kwa ushangiliaji wake dhidi ya Yanga SC

Klabu ya Manispaa ya Kinondoni inayoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara (KMC FC) imemuombea radhi mchezaji wake, Hassan Kabunda kwa kitendo cha kushangilia na kinyago usoni baada ya kuifunga Yanga SC katika uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza. Timu hiyo imeeleza Kabunda hakuwa na dhamira yoyote ya kuonesha vitendo vya ubaguzi wa rangi au dhihaka kwa Yanga SC kama baadhi ya watu walivyotafsiri siku hiyo.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news