Utabiri wa hali ya hewa Novemba 23, 2020 'MVUA KUBWA'

 Utabiri wa hali ya hewa wa saa 24 zijazo kuanzia saa 3:00 usiku wa leo Novemba 23, 2020 unaoletwa na mchambuzi Thereza Ngassa kutoka Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA).


Kwa mujibu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA),inatoa angalizo ya mvua kubwa kwa baadhi ya maeneo ya mikoa ya Dar es Salaam, Pwani (ikijumuisha Visiwa vya Mafia) na Lindi.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news