Rais Dkt.Mwinyi afanya teuzi 17 za Makatibu, Manaibu Katibu Wakuu na Mkurugenzi


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi leo Januari 23, 2021 kwa mujibu wa uwezo aliopewa chini ya vifungu Namba 50 (3)-(4) na 53 vya Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 na Kifungu cha  6(2) cha Sheria ya Viapo Namba 1 ya mwaka 1986 amewateua wafuatao kuwa Makatibu Wakuu,Naibu Makatibu Wakuu, Naibu Mwanasheria Mkuu na Mkurugenzi Mkuu wa Wizara ya Afya, Ustawi wa Jamii, Wazee, Jinsia na Watoto katika Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar;


Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news