Kocha wa Yanga, wenzake wafutwa kazi wakijiandaa kurejea Dar


Sare ya kufungana bao 1-1 kati ya Yanga SC dhidi ya Polisi Tanzania, imesababisha uongozi wa Yanga kutangaza kuvunja benchi la ufundi lililokuwa likiongozwa na Kocha Mkuu, Cedric Kaze raia wa Burundi.

"Hatuna la kusema, nasi hizi taarifa zimetushtua sana ila hayo ndiyo maamuzi ya uongozi. Tumefanya kila linalowezekana kuhakikisha tunaiweka klabu katika hali nzuri, lakini haikuwa bahati, tutasema zaidi wakati ujao," Mwandishi DIRAMAKINI amemnukuu mmoja kati ya viongozi hao waliofutwa kazi.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news