DIRAMAKINI yanasa barua ya mwanamke aliyejinyonga kutokana na tabia za mumewe 'kuchovya' kila mwanamke anayemkuta

NA MWANDISHI DIRAMAKINI

Mwanamke mwenye umri wa miaka 21 mkazi wa Molo katika Kaunti ya Nakuru nchini Kenya amejiua baada ya kutoridhishwa na mienendo ya mume wake.

Kupitia barua iliyonaswa na DIRAMAKINI Blog, mwanamke huyo amesema, alishindwa kuvumilia matendo ya mumewe, hivyo ameamua kujiua ili kumpa nafasi ya kujiachia zaidi.
Kiongozi wa eneo hilo Hassan Waweru amethibitisha tukio hilo akisema kwamba mwanamke huyo alitumia sumu na baadaye akajinyonga. Yafuatayo ni maelezo ya barua hiyo;

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news