Simba SC yaomboleza kifo cha Akilimali Yahya

NA MWANDISHI DIRAMAKINI

Mchezaji wa zamani wa Simba SC, Akilimali Yahya amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Jumamosi ya Oktoba 30, 2021 katika Hospital ya Maweni mkoani Kigoma.

Winga huyo aliyecheza Simba SC kuanzia mwaka 2003 hadi 2008.Baada ya kucheza klabu hiyo Akilimali aliyezaliwa Desemba 5, mwaka 1986 alikwenda Mtibwa Sugar ambako alicheza hadi 2010 alipohamia JKT Tanzania alikocheza kwa msimu mmoja akahamia Coastal Union ya Tanga kabla ya kustaafu soka ya ushindani.



Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news