Orodha ya majina ya vijana walioitwa kwenye usaili kwa ajili ya ajira katika Jeshi la Magereza

NA MWANDISHI MAALUM

KUFUATIA ajira zilizotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan, Kamishna Jenerali wa Magereza anawatangazia vijana walioomba ajira hizo kupitia makao makuu ya Jeshi la Magereza kwamba,kutakuwa na usaili wa vijana hao kuanzia Desemba 2,2021.

Usaili huo utadumu hadi Desemba 6,2021 katika Ukumbi wa Meja Jenerali SM Mzee uliopo makao makuu ya Jeshi la Magereza,Barabara ya Arusha eneo la Msalato, Dodoma.

Aidha, usaili huo utafanyika kuanzia saa mbili na nusu asubuhi. Gharama zote za malazi, chakula na nauli za kuja na kurudi katika usaili zitagharamiwa na wahusika.

Usaili huo umegawanywa katika makundi kulingana na taaluma za waombaji, orodha yao pamoja na tarehe ya usaili ni kama ifuatavyo;












Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news