TANZIA: Mwenyekiti wa UVCCM Iringo C na Mjumbe wa Mtaa afariki

NA MWANDISHI DIRAMAKINI

Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Wilaya ya Musoma Mjini mkoani Mara, Emmanuel Icon Nestory ameeleza kupokea kwa masikitiko taarifa za kifo cha aliyekuwa Mwenyekiti wa umoja huo tawi la Iringo C,Jama Ally Jama. You
Picha mbalimbali za Jama wakati wa uhai wake.

Kwa mujibu wa Nestory, kifo hicho kimetokokea leo Novemba 15,2021 saa tisa usiku.

"Umoja wa vijana wa Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Musoma (manispaa) umepata pigo kubwa kutokana na kifo cha Mwenyekiti UVCCM tawi la Iringo C na mjumbe wa Serikali ya mtaa Iringo C ndugu Jama Ally Jama. Kilichotokea leo majira ya saa tisa xa usiku. Bwana ametoa na Bwana ametwaa jina la Bwana libarikiwe. Amen,"ameeleza.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news